iqna

IQNA

sura saba
Sura za Qur'ani Tukufu /34
TEHRAN (IQNA) – Miongoni mwa Mitume waliotumwa na Mwenyezi Mungu kuwaongoza watu wengine walikuwa ni baba na mwana. Miongoni mwao ni Zakariya (Amani ya Mwenyezi Mungu-AS-) na Yahya (AS), Ibrahim (AS) na Ishaq (AS), Ibrahim (AS) na Ismail (AS), na Yaqub (AS) na Yusuf (AS).
Habari ID: 3475968    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/21